iqna

IQNA

yukhari govhar agha
TEHRAN (IQNA) - Swala ya kwanza ya Ijumaa baada ya miaka 28 imeswaliwa leo katika msikiti wa kihistoria Yukhari Govhar Agha katika mji wa Shusha eneo linalozozaniwa baina ya Jamhuri ya Azeribajan na Armenia la Nagorno-Karabakh.
Habari ID: 3473357    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/13